Umeme Jua: Nishati mbadala rafiki wa mazingira

WANANCHI wanaopata huduma ya umeme unaotokana na gredi ya Taifa ni asilimia 11 pekee ambapo asilimia moja ya wananchi waishio vijijini, ndio wanaonufaika na umeme huo.

Hali hiyo inachangia kukwamisha huduma mbalimbali za kijamii hususani katika maeneo ya vijijini ambayo yanahitaji nishati hiyo ili kuboresha mahitaji mbalimbali yakiwemo huduma bora ya afya kwa watoto na wakinamama wajawazito wakati wa kujifungua.

More……..

Advertisement

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s